Tuesday, 12 July 2016

Mr AJTC Baraka lang kaaya amewashauri wanafunzi kuwa watanashati.

Mr.Baraka lang akizungumza na wanafunzi hiyo jana katika chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha.PICHA NA HAPPY KAHEMELA

Mr AJTC Baraka lang kaaya amewashauri wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha wajinsia ya kiume kujipenda na kuvaa mavazi yanayo endana na wakati.

Ameyasema hayo wakati wa semina iliyofanyika katika ukumbu wa chuo hicho kwa lengo la kuwafundisha jinsi ya kupendeza huku akisisitiza wanafunzi hao kujipenda haswa kimavazi

Ameongeza kuwa atandaa shindano la kumsaka mvulana mtanashati kuliko wote na pia  kutakuepo na zawad nono kwa yule atakaye wazidi wenzie 

Naye mmoja wa wawanafunzi waliohudhuria semina hiyo chuoni  hapo BW.Eduwin reginald amempongeza Bw.Baraka kwa kuandaa semina nzuri  ambayo ina mafunzo na kuipa sifa chuo hicho 

Kwaupande  wake mkufunzi wa chuo hicho Bw steven mulaki amewasistiza wanafunzi hao wa jinsia ya kiume kuyatilia maanani mafunzo hayo waliyopewa kwani yat
ailetea sifa nzuri chuo chao

Monday, 11 July 2016

UREMBO WA MAGAUNI YA SEND OFF YENYE MVUTO













THE EYEBROW GUIDE/AINA YA KUTINDA NYUSI.

Watu wakisema "Eyebrows on fleek" wanamaanisha you have the perfect brow, sasa whats the perfect brow? The perfect brow ina depend na what is in style kwa kipindi hicho, ina depend na what is trending. Kama kipindi hiki I think the arc ndio inatrend,, but mnajua kuwa the arc haimpendezi kila mtu, kwasababu watu tuna texture tofauti za nywele na pia jinsi nyusi zinavyoota nazo ni tofauti pia.

Nimewaletea some guidlines ili muweze kujua nyusi zenu zinafaa kushepiwa vipi, na soon ntawaonesha aina za shape ya sura na nyusi zinazopendeza hizo sura na pia njia tofauti unazoweza kutumia kuchonga nyusi zako.


Kabla hata hujachonga nyusi zako, ukijiangalia unaweza ukaona nyusi zako zimekaa shape gani. Watu huwa wanatinda nyusi ili tu kuzifanya zionekane more defined. Lkini ukijaribu kuzipa nyusi zako shape nyingine kabisa ndipo unapoharibu.
Picha ya hapo juu utaona aina/shapes tofauti za nyusi::
  • Straight/iliyonyooka
  • Rounded/ ya mduara
  • Arched
  • Steep arch
  • S-shaped

Ukishajua shape ya nyusi zako, hivi ndivyo utakavyojua jinsi ya kuchonga/kutinda nyusi zako.
Nyusi zako zinatakiwa kuanzia mtari uwe sambamba na mwisho wa pua yako(A), then pale pa kuinyanyua kidogo(inategemea na shape ya nyusi zako) inatakiwa ilingane na pupils zako (B) ,huo mnyanyuko unaishia mwisho wa jicho lako linapoishia(C), hapo nyusi inaanza kuwa nyembamba hadi mwisho ambapo unalishanisha pua, mwisho wa jicho(D)